Mwazo ni wimbo mpya ulioimbwa na Msanii wa kizazi kipya anayekwenda kwa jina la DAVOS' akifanya maojiano na mwaandishi wa bongojotolinkblog alisema kuwa amejipanga vema kukabiliana nachangamoto zinazojitokeza kwenye muziki wetu wa bongofleva pia alimalizia kusema anaamini bila ya kufight hakuna mafanikio mwisho akamalizia kwa kuomba support yako ukiwa kama mdau au mpenzi wa muziki wa kizazi kipya kutoka hapa nyumbani Tanzania.. Na endapo utamsikiliza vizuri kwenye huu wimbo utagundua kuna kitu cha ziada ndani yake kuanzia uwandishi na umahiri katika kupangilia sauti...
No comments:
Post a Comment