Yule mkali kutoka nyumba ya vipaji
Tanzania House Of Talent a.k.a THT. anaesifika kwa sauti yenye hisia na
mashairi ya kufundisha wanamuita Dito, amefunguka kupitia tovuti hii
kuwa wasanii wa 3 wa Bongo anaowazimia ni mkongwe Pro J, Gwiji wa
muziki wa Afrika mashariki hayati Marijani Rajabu pamoja na aliekuwa
msanii mwenzake katika kundi moja mkali kutoka Mji kasoro bahari
{Morogoro}Afande sele, Msanii Dito ametamba na ngoma kali kama vile
Wapo, Tushukuru kwa yote pamoja na Niamini.
No comments:
Post a Comment