Tuesday, October 16, 2012

WASANII 3 WANAOMNYIMA USINGIZI MKALI DITO..

 Yule mkali kutoka nyumba ya vipaji Tanzania House Of  Talent a.k.a THT. anaesifika kwa sauti yenye hisia na mashairi ya kufundisha wanamuita Dito, amefunguka kupitia tovuti hii kuwa wasanii wa 3 wa Bongo anaowazimia ni mkongwe  Pro J, Gwiji wa muziki wa Afrika mashariki hayati Marijani Rajabu pamoja na aliekuwa msanii mwenzake katika kundi moja mkali kutoka Mji kasoro bahari {Morogoro}Afande sele, Msanii Dito ametamba na ngoma kali kama vile Wapo, Tushukuru kwa yote pamoja na Niamini.

No comments: