Tuesday, October 16, 2012

E MEDIA NA IZZO B TENA...!




Nguli wa muziki wa kufokafoka kutoka jijini mbeya anaetamba na mkwaju wa Riz one muite Izzo B njiani kuachia ngoma yake mpya ikiambatana na video, sindano hiyo imetaarishwa na kampuni ya E MEDIA chini ya mkali Nick Dizzo, usikae mbali na tovuti yako kwa video kali..

No comments: