E MEDIA NA IZZO B TENA...!
Nguli wa
muziki wa kufokafoka kutoka jijini mbeya anaetamba na mkwaju wa Riz one
muite Izzo B njiani kuachia ngoma yake mpya ikiambatana na video,
sindano hiyo imetaarishwa na kampuni ya E MEDIA chini ya mkali Nick
Dizzo, usikae mbali na tovuti yako kwa video kali..
No comments:
Post a Comment